Monday, March 28, 2016
Wednesday, March 16, 2016
KIpimo cha imani
Let say uko kanisani unasali ghafla inaiingia sms umeshinda kama millioni 500 kampuni fulani ya mtandao wa simu na wamekwambia uende muda huo huo kuchukua je, utaacha kusali au utaendelea?na ukiacha hy sala unaimalizia vp?
Monday, March 14, 2016
Thursday, March 3, 2016
Friday, February 26, 2016
Thursday, February 25, 2016
PATA NENO
PATA NENO
"Ucjisifu una marafik wengi kama nywele zako wkt wa shida utajikuta KIPARA". Na huu ndo ukwl wnyw na waliopitia na wanaoendelea kupitia hali hii watakubaliana nami.
By Matanza.....
Mwanamume Afumaniwa Akila Uroda Na Ng'ombe, Limuru
Mwanamume Afumaniwa Akila Uroda Na Ng'ombe, Limuru
Ni kitendo cha kushangaza.Mwanamume kufanya ngono na ng'ombe.Hili ndilo jambo lililoshuhudiwa hii leo katika kijiji kimoja huko Kiambaa baada ya jamaa anayefanya kazi na kampuni ya maji ya Kikuyu, kufumaniwa akifanya kitendo hicho kisicho cha kawaida na ngombe katika mojawapo ya boma la eneo hilo.
(video)
Wednesday, February 24, 2016
MTU AJIITA MUNGU ATOKEA UKO DRC KONGO
MTU AJIITA MUNGU ATOKEA UKO DRC KONGO
Nitukio la kushangaza na kusisimua sana lililo tokea Uko JAMUULI YA DEMOKRASIA YA KONGO,
mji wa Gavilan katika kanisa la Tatu la malkia wa ubembe.
(Picture yake)
(NabiiaTATA WAHISEELELWA)
, Mtu moja Afahamikae kwa
jina la Nabiia WATATA WAHISEELELWA Ajiitae MUNGU 3 yani Mungu Mtu Roho Mtakatifu,
Mtu uyo(Nabiia WATATA WAHISEELELWA) amedai Amekuja kama Musa na Yesu walivyo kuja,
Nabiia WATATA WAHISEELELWA asema Yesu na Musa walikua wazungu ila yeye ni mweusi
Adai uwo ndio utatu mtakatifu
(Video)
Tuesday, February 23, 2016
WAZO LA LEO:
WAZO LA LEO:
WAZO LA LEO:
Hata uwe na tamaa vipi huwezi kutamani kifo.......!!
WAZO LA KESHO; mwanaume hata awe na huruma vipi, hawezi kumsaidia mwanamke kubeba mimba.
WAZO LA KESHO KUTWA; Urefu na ufupi ni majaliwa ya muumba lakini vitambi na mimba ni juhudi zetu wenyewe!
UKWELI WA MAISHA.
Bila pesa Mademu wazuri Utaishia Kuwaita Shemeji.......!
NI MTAZAMO TU,,
Mapenzi yangekuwa IBADA vijana wote 2ngeenda MBINGUNI.
DEREVA MPENDA NGONO
DEREVA MPENDA NGONO
DEREVA mpenda Ngono alimpa lifti SISTER wa Kanisa. kila akibadili Gia Mkono wake unagusa Paja la Sister. Yule Sister akamwambia soma "Mathayo 7:7 DEREVA kusikia hivyo akamuacha kumgusa huku akijiuliza Mathayo 7 inasemaje?. Alipomfikisha Kanisani, Jamaa karud nyumban akachukua Biblia na kupekua Mathayo 7:7 na kukutana na Ujumbe usemao "OMBENI NANYI MTAPEWA" Jamaa daaah nimekosa JE dereva alikosa nin! tujifuze kuomba.
by francnho
CHEZEA UJANA....
CHEZEA UJANA
Binti mmoja wa kitanzania alikuwa anasomea masomo ya kisayansi huko china muda wa miaka 20 alipofuzu na akaweza kugundua dawa ya kutozeeka akawatumia wazazi wake kichupa cha dawa wanywe tone moja moja wasizeeke,baada ya miaka 20 aliporudi tanzania alimkuta mama yake kawa binti huku kabeba kitoto cha kiume kidogo mgongoni akafurah kumkuta mama yake kawa binti akamuulza baba yuko wapi?
Mama akajibu mwanangu baba yako alivyoniona nimekunywa dawa nimekuwa binti yeye akanywa kichupa chote ndo huyu nimembeba mgongoni!
binti akazimia pale pale!
by francnho
DEREVA WA BODA BODA..
Sikia hii = Dereva pikipiki alianguka pikipiki ikambana akawa anafurukuta cha ajabu watu wakawa wanampita bila hata kumsaidia kumbe nyuma ya pikipiki alikuwa ameandika "NIACHENI KAMA NILIVYO HII NDO STAILI YANGU" Tujifunze maneno ya kuandika.
by Brightoni
Homa ya ajabu
Homa ya ajabu
Sijui ni MALARIA yani naumwa kweli hata kula nashindwa asubuhi yenyewe nimekula chapati 9 tu maandazi 7 mihogo 7 vitumbua 10 Mikate6 magimbi 5 ndizi za kukaanga 4 sambusa 5 sahani za ubwabwa 3 mtori bakuli 2 pilau sahani 5 kulikuwa na kipolo cha makande nimejazia jazia ivo ivo kigonjwa gonjwa saivi natoka kwa Doctor kuchukua dawa ya kuleta hamu ya kula kwa kweli hali yangu ni mbaya wiki ijayo nakuja kuugulia kwako. USIKU MWEMAA.Forward from: Matanza the best
by toniking
Madenge na traffic
Madenge na traffic
Madenge aliua watu 25 kwa ajali alipokuja traffic mambo yalikuwa hvi;
- TRAFFIC: Ilikuwaje ukagonga watu wote hawa?
- Madenge: nilikuwa spidi ghafla nikaona kundi la watu kushoto, na mtu mmoja kulia, na sina breki wewe trafic ungefanyaje?
- TRAFFIC: ningemgonga yule mmoja kuokoa wengi.
- Madenge: Ndivyo nilivyokusudia lakini yule mpumbavu alikimbilia kwa watu wengi akafikiri sijamuona,nikamfuata kulekule ndipo nikawagonga wote...
- Trafk hoiììiìi
by toniking
Saturday, February 6, 2016
Nywele bandia
Je wajua baadhi ya nywele bandia na mawingi utoka wapi
VIDEO
Mdamwingine ndiomana waungwana usema nyele bandia ni hatari kwa afya za kinana dada,
Ukweli nyele bandia sio zuli kwa afya ya mwanadamu,
Wednesday, February 3, 2016
Madenge na traffic
TEXT COMEDY
Madenge na traffic
Madenge aliua watu 25 kwa ajali alipokuja traffic mambo yalikuwa hvi;
- TRAFFIC: Ilikuwaje ukagonga watu wote hawa?
- Madenge: nilikuwa spidi ghafla nikaona kundi la watu kushoto, na mtu mmoja kulia, na sina breki wewe trafic ungefanyaje?
- TRAFFIC: ningemgonga yule mmoja kuokoa wengi.
- Madenge: Ndivyo nilivyokusudia lakini yule mpumbavu alikimbilia kwa
watu wengi akafikiri sijamuona,nikamfuata kulekule ndipo nikawagonga
wote...
- Trafk hoiììiìi
by toniking
Friday, January 22, 2016
Subscribe to:
Comments (Atom)















