CHEZEA UJANA
Binti mmoja wa kitanzania alikuwa anasomea masomo ya kisayansi huko china muda wa miaka 20 alipofuzu na akaweza kugundua dawa ya kutozeeka akawatumia wazazi wake kichupa cha dawa wanywe tone moja moja wasizeeke,baada ya miaka 20 aliporudi tanzania alimkuta mama yake kawa binti huku kabeba kitoto cha kiume kidogo mgongoni akafurah kumkuta mama yake kawa binti akamuulza baba yuko wapi?
Mama akajibu mwanangu baba yako alivyoniona nimekunywa dawa nimekuwa binti yeye akanywa kichupa chote ndo huyu nimembeba mgongoni!
binti akazimia pale pale!
by francnho






0 comments:
Post a Comment