Sikia hii = Dereva pikipiki alianguka pikipiki ikambana akawa anafurukuta cha ajabu watu wakawa wanampita bila hata kumsaidia kumbe nyuma ya pikipiki alikuwa ameandika "NIACHENI KAMA NILIVYO HII NDO STAILI YANGU" Tujifunze maneno ya kuandika.
MTANI SHOES,,,,,Niduka laviatu vya wanawake(Vya kutumbukiza na sendo),Pia Viatu vya watoto ,wamama,na Akina bibi,duka linapatikana morogoro ,mtaa wa nguzo,mbele ya shule ya secondari kihonda kwenye kibao cha shule ya edukea secondari ,Mawasiliano biga SIMU namber "0714066825"
0 comments:
Post a Comment