WAZO LA LEO:
WAZO LA LEO:
Hata uwe na tamaa vipi huwezi kutamani kifo.......!!
WAZO LA KESHO; mwanaume hata awe na huruma vipi, hawezi kumsaidia mwanamke kubeba mimba.
WAZO LA KESHO KUTWA; Urefu na ufupi ni majaliwa ya muumba lakini vitambi na mimba ni juhudi zetu wenyewe!
UKWELI WA MAISHA.
Bila pesa Mademu wazuri Utaishia Kuwaita Shemeji.......!
NI MTAZAMO TU,,
Mapenzi yangekuwa IBADA vijana wote 2ngeenda MBINGUNI.






0 comments:
Post a Comment